+255 766484448, +255 752 581 521 info@learningmindsafrica.co.tz

Maonyesho ya Sanyansi, Technolojia na Ubunifu Dodoma

Leo tunashiriki maonyesho ya kilele cha Sayansi, Teknolojia na Ubunifu yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknoljia hapa Dodoma. Karibu katika Banda letu ujifunze ubunifu wa kijamii kupitia kituo chetu cha Social Innovation Lab.